Kuna njia mbalimbali za kuchanganua sentensi. Njia hizi ni: (a) msitari (b) jedwali (c) mchoro wa matawi. (a) Msitari Katika kuchanganua sentensi kwa njia ya msitari tunaonyesha namna sentensi inavyojipambanua. Kwa mfano, ili kubainisha sehemu mbili muhimu zaidi za sentensi tunatumia kanuni ya muundo wa virai kama ifuatavyo: S➡ KN …
SARUFI -MUUNDO WA SENTENSI: SHAMIRISHO (KIPOZI, KITONDO, ALA/KITUMIZI) NA CHAGIZO
Shamirisho ni sehemu ya kiarifu inayotokea baada ya kitenzi kikuu; na chagizo ni sehemu inayokuja baada ya shamirisho, hasa ikiwa inafafanua kuhusu kitenzi
SARUFI – MUUNDO WA SENTENSI: KIKUNDI NOMINO, KIKUNDI TENZI
Kila lugha ina muundo wake wa sentensi. Muundo huu unaongozwa na sheria zinazofafanua namna maneno mbalimbali yatakavyohusiana. Kwa jumla sentensi huwa na nomino na kitenzi, pamoja na aina nyingine za maneno.
SARUFI: SENTENSI ZA KISWAHILI
Sentensi ni mwambatano wa maneno wenye maana. Usahihi wa mwambatano huo hutegemea sheria za lugha inayohusika. Maneno kwenye sentensi huwa katika mafungu yenye uhusiano wa kimuundo na kimatumizi.
SARUFI – UPATANISHO WA KISARUFI: VISISITIZI NA VIVUMISHI VYA PEKEE
UPATANISHO WA KISARUFI: VISISITIZI NA VIVUMISHI VYA PEKEE
SARUFI: UPATANISHO WA KISARUFI: VIREJESHI ‘O’ NA ‘AMBA-
Virejeshi ni viambishi vinavyorejesha nomino kwa kitendo. Aidha, hutokea kabla au baada ya mzizi wa kitenzi ili kurejelea nomino ambayo habari yake inatolewa.
SARUFI – NGELI ZA NOMINO: UPATANISHO WA KISARUFI NA VIVUMISHI VYA A-UNGANIFU
Lugha ya Kiswahili, kama lugha nyingine za Kibantu, ina utaratibu wa nomino ambapo muundo wa viambishi vya maneno (vitenzi, vivumishi, viwakilishi, vielezi na kadhalika) huongozwa na aina ya nomino.
SARUFI – MWINGILIANO WA MANENO: KIVUMISHI/KIWAKILISHI
Kufikia sasa, mmesoma vitabu mbalimbali vyenye maelezo tofauti kuhusu vivumishi na viwakilishi. Katika baadhi ya vitabu vya Sarufi ya Kiswahili, kumekuwa na tatizo la maneno mengine kuainishwa kama vivumishi ilhali yangefaa kuainishwa kama viwakilishi. Kwa mfano, katika kitabu cha Kapinga (1983) kiitwacho Sarufi Maumbo ya Kiswahili, mwandishi ameorodhesha aina hizi …
UUNDAJI WA NOMINO KUTOKANA NA VITENZI: KIGENI, KUAMBISHA VIAMBISHI
(a) Vitenzi vya kigeni Katika Sarufi ya Kiswahili, kuna vitenzi vya kigeni ambavyo hutumiwa katika uundaji wa nomino. Kwa mfano: Kitenzi cha Kigeni Nomino Inayovyazwa Fahamu Ufahamu Safiri Safari, Msafiri, Usafiri Sahau Usahaulivu Samehe Usamehevu, Msamaha, Msamehevu Afiki (Ma)afikiano Ahidi Ahadi (b) Vitenzi vya kuambisha viambishi Nomino mbalimbali huundwa kwa …
SARUFI -VIELEZI: IDADI, KIASI, MAHALI
Kielezi ni neno linalotumiwa kueleza zaidi juu ya kitenzi, kivumishi ama kitenzi kingine. Somo hili linashughulikia vielezi vya idadi, kiasi na mahali.