Dagaa in English – Maana na faida ya dagaa

Dagaa in English is Sardines. Huu ndio ufafanuzi wa Kiingereza wa sardine:

a young pilchard or other young or small herring-like fish.

Misemo ya dharau na maana ya dharau katika Kiswahili na English

Dharau ni tabia ya mtu ya kupuuza mambo na kutofuata kanuni au taratibu zilizowekwa.
Dharau in English is to to despise or disdain. Huu ndio ufafanuzi wa Kiingereza wa neno dharau:

the feeling that a person or a thing is worthless or beneath consideration.
Pia hapa kuna misemo ya dharau:

Maji in English, maana, umuhimu, ngeli na wingi

Maji ni kiowevu kisicho na rangi wala ladha kinachopatikana kwenye mito, bahari au maziwa na wakati mwingine hutokana na mvua ambacho viumbe hunywa na watu hupikia, huogea au kufulia.

Sawa meaning in Kiswahili and English

Neno “sawa” linaweza kuwa na maana mbalimbali katika Kiingereza (English), kulingana na muktadha. Hapa kuna baadhi ya tafsiri za kawaida kwa Kiingereza:

Hadithi Fupi za Kiswahili

Hapa chini tumekupa hadithi fupi; hadithi ya hekaya, ya mafunzo na mahaba.

Kijana ni nani? Majukumu na changamoto zinazowakabili

Kijana ni mtu aliyekomaa kiakili na kimwili, lakini bado hajakomaa kiuchumi na kijamii. Kijana kwa kawaida huanzia umri wa miaka 15 hadi 25, lakini umri huu unaweza kutofautiana kulingana na utamaduni na jamii.

Maana ya wokovu na jinsi utaokolewa

Wokovu, kwa maneno ya kibiblia, unarejelea ukombozi wa wanadamu kutoka kwa matokeo ya dhambi na urejesho wa uhusiano mzuri na Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo.

Maana ya zaka na sadaka na umuhimu wa kutoa

Zaka ni utoaji wa asilimia kumi ya mapato kwa ajili ya Mungu. Pia zaka huitwa “fungu la kumi”.
Zaka kwa Kiingereza ni tithe.

Sadaka ni utoaji wa hiari wa mali au huduma kwa ajili ya Mungu au kwa ajili ya watu wengine.
Sadaka kwa Kiingereza ni offering.

Maana ya ubatizo na umuhimu wake

Ubatizo ni kuzamishwa kabisa ndani ya maji. Ubatizo ni ishara kuonyesha kwa hadharani, kwamba mtu anayebatizwa ametubu dhambi zake na kutoa ahadi kwa Mungu ya kufanya mapenzi yake. Hii inamaanisha kuishi maisha ya kumtii Mungu na Yesu. Watu wanaobatizwa hujiweka kwenye njia ya uzima wa milele.

Maana ya uchumi, umuhimu na jinsi ya kuwa na uchumi bora

Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Ni hasa uzalishaji, usambazaji na utumiaji wa bidhaa pamoja na kutolewa kwa huduma kwa njia mbalimbali.