Riwaya ya Nguu za jadi

Maudhui ya ukatili katika riwaya. Sagilu anapanga njama ya kuwafurusha waketwa kutoka kwenye makazi yao akitumia kibaraka chake Sihaba. wanawatuma watu na kuchoma makazi yao katika mji wa matango. Cheiya anajaribu kumuua Lonare kwa kumuwekea sumu katika kinywaji chake. Mtemi Lesulia na wandani wake wa kisiasa wanapanga njama ya kutuma …

TAWASIFU NA WASIFU

Katika utunzi wa kisanaa, kuna kitengo kinachohusiana na utoaji sifa za mtu au watu. Sifa za mtu zinaweza kutolewa na mtu mwenyewe (yaani, mwandishi) au na mtu mwingine.

UTUNGO: MATANGAZO

Kuna matangazo ya aina nyingi: matangazo ya biashara, vifo, ajira, harusi, michezo na kadhalika. Matangazo yana kaida zake.

SARUFI – UCHANGANUZI WA SENTENSI: MSITARI, JEDWALI

Kuna njia mbalimbali za kuchanganua sentensi. Njia hizi ni: (a) msitari (b) jedwali (c) mchoro wa matawi. (a) Msitari Katika kuchanganua sentensi kwa njia ya msitari tunaonyesha namna sentensi inavyojipambanua. Kwa mfano, ili kubainisha sehemu mbili muhimu zaidi za sentensi tunatumia kanuni ya muundo wa virai kama ifuatavyo: S➡ KN …

MAANA YA MAGHANI

Maghani ni kipera cha fasihi simulizi kinachojumuishwa katika fani ya ushairi-simulizi. Kughani ni kitendo cha kusema kwa njia ya mahadhi (kuimba).

TAHADHARI: ILANI NA ONYO

Utungo wa tahadhari hutoa maelekezo na pia huonya. Kwa mfano, mwajiri anaweza kumtahadharisha mwajiriwa anayekiuka kanuni za kazi.

UUNDAJI WA ISTILAHI ZA KISWAHILI

Uundaji wa istilahi za lugha yoyote ni sehemu ya ukuzaji wa lugha hiyo. Kadri jamii zinavyoendelea kisiasa, kiuchumi,

SARUFI -MUUNDO WA SENTENSI: SHAMIRISHO (KIPOZI, KITONDO, ALA/KITUMIZI) NA CHAGIZO

Shamirisho ni sehemu ya kiarifu inayotokea baada ya kitenzi kikuu; na chagizo ni sehemu inayokuja baada ya shamirisho, hasa ikiwa inafafanua kuhusu kitenzi

HISTORIA YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Dhana ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ilizalika enzi ya ukoloni wakati Tanganyika ilipokabidhiwa Waingereza kuisimamia.

UTUNGO: JINSI YA KUANDIKA BARUAMEME

Baruameme ni barua inayopelekwa kupitia mdahalishi (intaneti). Barua hii inaweza kuwa na viambatanishi kama vile picha, makala, video na sauti.