Maudhui ya ukatili katika riwaya. Sagilu anapanga njama ya kuwafurusha waketwa kutoka kwenye makazi yao akitumia kibaraka chake Sihaba. wanawatuma watu na kuchoma makazi yao katika mji wa matango. Cheiya anajaribu kumuua Lonare kwa kumuwekea sumu katika kinywaji chake. Mtemi Lesulia na wandani wake wa kisiasa wanapanga njama ya kutuma …
TAWASIFU NA WASIFU
Katika utunzi wa kisanaa, kuna kitengo kinachohusiana na utoaji sifa za mtu au watu. Sifa za mtu zinaweza kutolewa na mtu mwenyewe (yaani, mwandishi) au na mtu mwingine.
UTUNGO: MATANGAZO
Kuna matangazo ya aina nyingi: matangazo ya biashara, vifo, ajira, harusi, michezo na kadhalika. Matangazo yana kaida zake.
SARUFI – UCHANGANUZI WA SENTENSI: MSITARI, JEDWALI
Kuna njia mbalimbali za kuchanganua sentensi. Njia hizi ni: (a) msitari (b) jedwali (c) mchoro wa matawi. (a) Msitari Katika kuchanganua sentensi kwa njia ya msitari tunaonyesha namna sentensi inavyojipambanua. Kwa mfano, ili kubainisha sehemu mbili muhimu zaidi za sentensi tunatumia kanuni ya muundo wa virai kama ifuatavyo: S➡ KN …
MAANA YA MAGHANI
Maghani ni kipera cha fasihi simulizi kinachojumuishwa katika fani ya ushairi-simulizi. Kughani ni kitendo cha kusema kwa njia ya mahadhi (kuimba).
TAHADHARI: ILANI NA ONYO
Utungo wa tahadhari hutoa maelekezo na pia huonya. Kwa mfano, mwajiri anaweza kumtahadharisha mwajiriwa anayekiuka kanuni za kazi.
UUNDAJI WA ISTILAHI ZA KISWAHILI
Uundaji wa istilahi za lugha yoyote ni sehemu ya ukuzaji wa lugha hiyo. Kadri jamii zinavyoendelea kisiasa, kiuchumi,
SARUFI -MUUNDO WA SENTENSI: SHAMIRISHO (KIPOZI, KITONDO, ALA/KITUMIZI) NA CHAGIZO
Shamirisho ni sehemu ya kiarifu inayotokea baada ya kitenzi kikuu; na chagizo ni sehemu inayokuja baada ya shamirisho, hasa ikiwa inafafanua kuhusu kitenzi
HISTORIA YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Dhana ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ilizalika enzi ya ukoloni wakati Tanganyika ilipokabidhiwa Waingereza kuisimamia.