Sentensi ni mwambatano wa maneno wenye maana. Usahihi wa mwambatano huo hutegemea sheria za lugha inayohusika. Maneno kwenye sentensi huwa katika mafungu yenye uhusiano wa kimuundo na kimatumizi.
Sentensi ni mwambatano wa maneno wenye maana. Usahihi wa mwambatano huo hutegemea sheria za lugha inayohusika. Maneno kwenye sentensi huwa katika mafungu yenye uhusiano wa kimuundo na kimatumizi.