Uakifishaji ni ustadi wa kutumia herufi na alama za uandishi katika kuyapa maandishi maana bainifu zaidi. Uakifishaji hurahisisha mawasiliano kwa kumwelekeza mwandishi na msomaji ipasavyo.
Uakifishaji ni ustadi wa kutumia herufi na alama za uandishi katika kuyapa maandishi maana bainifu zaidi. Uakifishaji hurahisisha mawasiliano kwa kumwelekeza mwandishi na msomaji ipasavyo.