Soga ni tamathali ya usemi ambayo ni kitumbuizo cha lugha. Aidha, huchukua mtindo wa mchezo wa kuigiza au hadithi fupi ambapo maneno yenye ulinganifu wa vina au sauti hutumiwa kimzahamzaha kwa lengo la kuchekesha.
Soga ni tamathali ya usemi ambayo ni kitumbuizo cha lugha. Aidha, huchukua mtindo wa mchezo wa kuigiza au hadithi fupi ambapo maneno yenye ulinganifu wa vina au sauti hutumiwa kimzahamzaha kwa lengo la kuchekesha.