Sauti za Kiswahili ni sauti zinazotumika katika lugha ya Kiswahili. Sauti hizi ndizo zinazounda maneno ya Kiswahili.
Mifano ya tanakali za sauti
Tanakali za sauti ni tamathali ya usemi ambayo hutumika kuigiza sauti au mlio wa kitu katika mazungumzo au maandishi na hivyo kufanya simulizi liwe hai zaidi.