SARUFI – NGELI ZA NOMINO: UPATANISHO WA KISARUFI NA VIVUMISHI VYA A-UNGANIFU

Lugha ya Kiswahili, kama lugha nyingine za Kibantu, ina utaratibu wa nomino ambapo muundo wa viambishi vya maneno (vitenzi, vivumishi, viwakilishi, vielezi na kadhalika) huongozwa na aina ya nomino.

UUNDAJI WA NOMINO KUTOKANA NA VITENZI: KIGENI, KUAMBISHA VIAMBISHI

(a) Vitenzi vya kigeni Katika Sarufi ya Kiswahili, kuna vitenzi vya kigeni ambavyo hutumiwa katika uundaji wa nomino. Kwa mfano: Kitenzi cha Kigeni Nomino Inayovyazwa Fahamu Ufahamu Safiri Safari, Msafiri, Usafiri Sahau Usahaulivu Samehe Usamehevu, Msamaha, Msamehevu Afiki (Ma)afikiano Ahidi Ahadi (b) Vitenzi vya kuambisha viambishi Nomino mbalimbali huundwa kwa …

Aina za nomino na mifano yake

Nomino ni aina ya neno inayotaja jina la mtu, mahali, kitu, au wazo.
Aina za Nomino
Nomino za pekee/maalumu /mahususi
Nomino za kawaida
Nomino za makundi/jamii
Nomino za wingi/Fungamano
Nominoambata
Nomino za kitenzijina
Nomino dhahania.

Tofauti kati ya nomino za pekee na nomino za kawaida

Nomino za pekee ni maneno yanayotaja majina mahususi ya watu, mahali, au vitu ambavyo vina sifa ya pekee. Nomino za pekee huanza kwa herufi kubwa. Nomino hizi hutaja vitu kwa kawaida. Nomino hizi hurejelea dhana ,vitu  au viumbe vinavyopatikana duniani.

Mifano 100 ya nomino dhahania

Nomino za dhahania ni maneno yanayotaja majina ya watu na vitu ambavyo ni vya kufikirika tu. Hapa chini ni mifano ya nomino dhahania.

Mifano 100 ya nomino za makundi

Nomino za makundi au jamii ni majina yanayotajia mkusanyiko wa vitu, watu au wanyama.
Hizi ni mifano zaidi ya 100 ya nomino za makundi ya watu, vitu na wanyama.