Ngomezi ni aina ya fasihi simulizi inayoshughulisha ngoma. Kwa karne nyingi, jamii za Kiafrika zilitumia ngoma kupitishia ujumbe fulani mahsusi.
Ngomezi ni aina ya fasihi simulizi inayoshughulisha ngoma. Kwa karne nyingi, jamii za Kiafrika zilitumia ngoma kupitishia ujumbe fulani mahsusi.