Silabi ni fungu la sauti linalotamkwa kwa pamoja kama fungu moja la sauti. Silabi inaweza kuwa na irabu moja au zaidi, au konsonanti moja au zaidi.
Silabi ni fungu la sauti linalotamkwa kwa pamoja kama fungu moja la sauti. Silabi inaweza kuwa na irabu moja au zaidi, au konsonanti moja au zaidi.