Ukanushaji ni hali ya kukataa au kutokubaliana na kauli fulani. Ni kusema sivyo, na ni kinyume cha kukubali au uyakinisho.
Kukanusha na kinyume cha andika
Kinyume cha andika ni futa, na neno “andika” linakanushwa kwa kuongeza kiambishi “si” kabla ya mzizi wa neno “andika”. Kwa hivyo, kinyume cha “andika” ni “siandiki”