Tausi in English

Tausi ni ndege mkubwa anayefungwa ambaye ana madoadoa ya rangi ya samawati na kijani anayetanua mkia wake kuonyesha urembo wake.

Kunguni in English

Kunguni in English ni bedbug. Ufafanuzi wa bedbug in English ni:

“a bloodsucking bug which is a parasite of birds and mammals.”

Katibu in English

Hii ndio tafsiri ya katibu in English:

1. Secretary – a person employed by an individual or in an office to assist with correspondence, make appointments, and carry out administrative tasks.

Kwikwi in English

1. Hiccup – Hii ndiyo maana ya kawaida ya “kwikwi” na hutafsiriwa kama “hiccup” kwa Kiingereza. Ufafanuzi wa hiccup in English ni:

Mbaazi in English

In English, mbaazi is translated as “pigeon peas”.

Chenza in English

Chenza in English ni tangerine. Ufafanuzi in English ni:

“a small citrus fruit with a loose skin, especially one of a variety with deep orange-red skin.”

Bati in English

The Swahili word “bati” translates to tin in English. Kwa ujumla “bati” in English is any sheet metal, not just tin specifically.

Ngisi in English

Ngisi ni mnyama wa bahari mwenye kichwa kama ua lililochanua na mikono kumi mirefu.

Pilipili manga in English

Pilipili manga ni viungo vya mchuzi au chakula vilivyo vya duara na rangi nyeusi kama mbegu za papai.

Visawe vya pilipili manga ni: pilipili mtama, filifili.

Pilipili in English

Pilipili in English ni pepper. Ufafanuzi wa pepper in English ni:
“a type of fruit, that are known for their hot, spicy flavor.”