Maghani ni kipera cha fasihi simulizi kinachojumuishwa katika fani ya ushairi-simulizi. Kughani ni kitendo cha kusema kwa njia ya mahadhi (kuimba).
FASIHI: NGOMEZI
Ngomezi ni aina ya fasihi simulizi inayoshughulisha ngoma. Kwa karne nyingi, jamii za Kiafrika zilitumia ngoma kupitishia ujumbe fulani mahsusi.
FASIHI: UAINISHAJI WA FASIHI SIMULIZI
Fasihi simulizi ni sanaa ya lugha inayohifadhiwa kwa njia ya mapokezano. Ilitangulia fasihi andishi na inajishughulisha na maisha ya binadamu pamoja na mazingira yake.
FASIHI: UMUHIMU WA FASIHI SIMULIZI
Fasihi simulizi ni fasihi iliyo kongwe zaidi kwa sababu iliibuka pale binadamu alipounda lugha kama chombo cha mawasiliano
Tofauti kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi
Fasihi ni sanaa inayotumia lugha au maneno katika sura mbalimbali kuwasilisha ujumbe unaomhusu binadamu. Hizi hapa ni tofauti kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi.