SARUFI – VIELEZI: NAMNA, WAKATI

Kielezi ni neno linalotumiwa ili kuelezea zaidi juu ya kitenzi, kivumishi au kitenzi kingine. Mifano ya vielezi ni: sana, kabisa, mno, zaidi.

SARUFI – VIWAKILISHI: SIFA, NAFSI, NGELI, PEKEE, IDADI

Viwakilishi ni aina ya maneno yanayosimamia nomino katika mikadha mbalimbali. Ijapokuwa viwakilishi husimania nomino, haina maana kwamba nomino inayowakilishwa huwa haipo kila mara.

SARUFI – VIWAKILISHI: VIONYESHI, VIMILIKISHI, VIULIZI, VIREJESHI, A-UNGANIFU

Viwakilishi ni aina ya maneno katika sarufi ya lugha yenye uamilifu wa kusimamia nomino kwenye miktadha mbalimbali.

SARUFI: MNYAMBULIKO WA VITENZI: VITENZI VYA SILABI MOJA

Katika vitenzi vya silabi moja, inabidi ku iongezwe ili neno litamkike kwa msingi uliotajwa hapo juu.

SARUFI: MNYAMBULIKO WA VITENZI VYENYE ASILI YA KIGENI

Katika kunyambua vitenzi vyenye asili ya kigeni, kiambishi huambikwa kwenye mwisho wa kitenzi. Irabu ya mwisho inaweza kudondoshwa au kuunganishwa na ya kiambishi.

SARUFI: MNYAMBULIKO WA VITENZI

Mnyambuliko wa vitenzi ni utaratibu wa kuunda vitenzi vipya kwa kuongeza viambishi nyambulishi kwenye maumbo ya mizizi.

SARUFI: VITENZI

Sentensi ya Kiswahili ina aina mbalimbali za maneno. Aina mojawapo ni kitenzi. Kitenzi ni aina ya neno linalotoa taarifa juu ya tendo lililofanyika au linalotendwa na kiumbe au kitu.

SARUFI: UAKIFISHAJI

Uakifishaji ni ustadi wa kutumia herufi na alama za uandishi katika kuyapa maandishi maana bainifu zaidi. Uakifishaji hurahisisha mawasiliano kwa kumwelekeza mwandishi na msomaji ipasavyo.

SARUFI: UKANUSHAJI WA NYAKATI NA HALI

Ukanushaji ni hali ya kukataa au kutokubaliana na kauli fulani. Ni kusema sivyo, na ni kinyume cha kukubali au uyakinisho.

SARUFI: NYAKATI NA HALI

Nyakati ni kipindi au muda maalum wa kitendo kutokea. Hali ni dhana ya wakati ambayo inawakilishwa na viambishi fulani kwenye kitenzi.