HISTORIA YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Dhana ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ilizalika enzi ya ukoloni wakati Tanganyika ilipokabidhiwa Waingereza kuisimamia.

SAJILI: MATANGAZO

Sajili ni matumizi ya lugha katika mazingira na viwango maalum. Baadhi ya viwango hivi ni kama vile dini, sheria, biashara, michezo na magazeti. Sajili pia hujulikana kama rejesta.