MUKHTASARI NI NINI?

Muhtasari au ufupisho ni mbinu muhimu sana katika taaluma ya uandishi. Ni uwezo wa kueleza maana iliyomo katika habari kwa kutumia idadi chache ya maneno, bila kupotosha maana ya makala asilia.

SEMI ZA KISWAHILI

Semi ni maneno yanayosema vitu kwa njia fiche. Ni njia mojawapo ya kufumba kile kinachosemwa.

FASIHI: UMUHIMU WA FASIHI SIMULIZI

Fasihi simulizi ni fasihi iliyo kongwe zaidi kwa sababu iliibuka pale binadamu alipounda lugha kama chombo cha mawasiliano

METHALI ZA KISWAHILI

Methali ni kifungu cha maneno yenye hekima yanayotumiwa kimafumbo katika kuwaelekeza wanadamu. Methali zimejikita katika mila, desturi, mazingira na kazi za wanajamii.

MATUMIZI YA LUGHA KATIKA KAZI ZA SANAA

Tamathali za usemi ni mtindo wa kutumia lugha kwa ustadi kwa makusudi ya kupamba kazi ya sanaa. Aidha, fungu la maneno huteuliwa na kutumiwa na mwandishi kwa lengo la “kufananisha” kinachoelezwa na hali au kitu fulani maishani.