Hadithi ni uchawi, zinaweza kuunda ulimwengu usio wa halisi, hutufanya kuwa na hisia, na maoni mablimbali. Hadithi zinaweza kutufundisha kuwa na huruma, kutufanya kucheka, kulia, kuwa na woga na kisha kutufariji kwa mwisho mzuri. Hapa tuna baadhi ya umuhimu wa haithi.
Mifano 50 ya vitate
Vitate ni maneno mawili au zaidi yanayofanana kwa sauti lakini hayana maana sawa. Hii hapa ni mifano 50 ya vitate.
Mifano 100 ya tashbihi
Tashbihi ni lugha inayotumika kulinganisha vitu viwili vinavyofanana au kushabihiana. Inatumia viunganishi mithili ya, kama, mfano wa nk. Hii hap ani mifano ya tashbihi:
Mifano 100 ya nomino za makundi
Nomino za makundi au jamii ni majina yanayotajia mkusanyiko wa vitu, watu au wanyama.
Hizi ni mifano zaidi ya 100 ya nomino za makundi ya watu, vitu na wanyama.
Salamu za kiswahili na majibu
Kuna salamu nyingi tofauti za kiswahili, kila moja yao ni ya kipekee kulingana na wakati. Hapa chini kuna aina za salamu za kiswahili na wakati wake. Pia kuna salamu za kiswahili pdf mwishoni wa nakala.