Visawe na mifano

Visawe ni maneno yaliyo na maana sawa. Hapa kuna mifano ya visawe:

Kukanusha na kinyume cha andika

Kinyume cha andika ni futa, na neno “andika” linakanushwa kwa kuongeza kiambishi “si” kabla ya mzizi wa neno “andika”. Kwa hivyo, kinyume cha “andika” ni “siandiki”

Mtaka cha mvunguni sharti ainame

Methali ya mtaka cha mvunguni sharti ainame ina maana kuwa ukitaka kitu fulani lazima uwe tayari kukisumbukia.

Aina za vitenzi katika Kiswahili

Vitenzi ni aina ya neno linaloeleza kitendo au hali inayofanywa na mtendaji. Aina za vitenzi: Vitenzi halisi, Vitenzi vikuu,Vitenzi visaidizi, Vitenzi vishirikishi, Vitenzi sambamba

Sauti zote za Kiswahili na jinsi ya kutamka

Sauti za Kiswahili ni sauti zinazotumika katika lugha ya Kiswahili. Sauti hizi ndizo zinazounda maneno ya Kiswahili.

Aina za nomino na mifano yake

Nomino ni aina ya neno inayotaja jina la mtu, mahali, kitu, au wazo.
Aina za Nomino
Nomino za pekee/maalumu /mahususi
Nomino za kawaida
Nomino za makundi/jamii
Nomino za wingi/Fungamano
Nominoambata
Nomino za kitenzijina
Nomino dhahania.

Tofauti kati ya nomino za pekee na nomino za kawaida

Nomino za pekee ni maneno yanayotaja majina mahususi ya watu, mahali, au vitu ambavyo vina sifa ya pekee. Nomino za pekee huanza kwa herufi kubwa. Nomino hizi hutaja vitu kwa kawaida. Nomino hizi hurejelea dhana ,vitu  au viumbe vinavyopatikana duniani.

Mifano ya tanakali za sauti

Tanakali za sauti ni tamathali ya usemi ambayo hutumika kuigiza sauti au mlio wa kitu katika mazungumzo au maandishi na hivyo kufanya simulizi liwe hai zaidi.

Methali 50 za bidii

Hapa kuna methali 50 zinazozungumzia kufanya kazi kwa bidii. Kutokana na hizi methali utapata motisha ya kufanya kazi kwa bidii ili ufanikiwe.

Ngeli zote za kiswahili na mifano

Ngeli ni mfumo wa kisarufi katika lugha ya Kiswahili ambao hutumia viambishi awali ili kuonyesha jinsia, wingi, na hali ya nomino. Ngeli za Kiswahili, kuna ngeli ya: